Neymar arejea katika mji wa Barcelona.

In Kimataifa

 

Mshambuliaji wa klab ya PSG ya Ufaransa Neymar Jr, amerejea Barcelona na kujumuika na wachezaji kadhaa akiwemo Lionel Messi na Gerard Pique.

 

Neymar alikuwa jijini Barcelona nyumbani kwake, kusharekea siku ya kuzaliwa ya mwanaye Davi Lucca.

 

Wakati Neymar akiwa na Pique, Messi na Raktic kutoka FC Barcelona, saa moja baadaye klabu hiyo imetangaza kumshtaki kutaka ilipwe asilimia kumi tena ya pauni milini 198, baada ya Neymar kuhamia PSG ya Ufaransa.

 

Messi alitupia picha hiyo wakiwa pamoja wenye furaha kusherekea siku ya kuzaliwa ya Davi Lucca, na kusema “Hes is back”, yaani amerejea.

 

Neymar alisajiliwa na Paris Saint-Germain ya Ufaransa kwa dau la pauni 198 milioni, na kaovunja rekodi ya dunia akitokea Barcelona ya nchini Hispania mwishoni wa mwezi Julai mwaka huu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu