Neymar arejea katika mji wa Barcelona.

In Kimataifa

 

Mshambuliaji wa klab ya PSG ya Ufaransa Neymar Jr, amerejea Barcelona na kujumuika na wachezaji kadhaa akiwemo Lionel Messi na Gerard Pique.

 

Neymar alikuwa jijini Barcelona nyumbani kwake, kusharekea siku ya kuzaliwa ya mwanaye Davi Lucca.

 

Wakati Neymar akiwa na Pique, Messi na Raktic kutoka FC Barcelona, saa moja baadaye klabu hiyo imetangaza kumshtaki kutaka ilipwe asilimia kumi tena ya pauni milini 198, baada ya Neymar kuhamia PSG ya Ufaransa.

 

Messi alitupia picha hiyo wakiwa pamoja wenye furaha kusherekea siku ya kuzaliwa ya Davi Lucca, na kusema “Hes is back”, yaani amerejea.

 

Neymar alisajiliwa na Paris Saint-Germain ya Ufaransa kwa dau la pauni 198 milioni, na kaovunja rekodi ya dunia akitokea Barcelona ya nchini Hispania mwishoni wa mwezi Julai mwaka huu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu