Yahaya kutimkia kwao usiku wa Leo.

In Kitaifa, Michezo

Yahaya Mohamed kuondoka rasmi usiku wa leo kwa flyrwndair kurejea kwao ghana baada ya kuachana na Azam fc

Nafasi ya Yahaya itajazwa na mchezaji atakayependekezwa na benchi la ufundi kuelekea dirisha dogo la usajili, linalotarajia kuanza Novemba 15 kwenye ligi kuu ya Tanzania bara.

Kwa mujibu wa Afisa habari wa Azam Jafari Idd amesema wanafanya hivyo ili kuimarisha kikosi cha Azam Fc.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu