Nimeota Lulu ataachiwa huru.

In Kitaifa

Baba mzazi wa Marehemu Steven Kanumba anayefahamika kwa jina la Charles Kanumba amesema kuwa ameota ndoto kuhusu maamuzi ya Mahakama dhidi ya Elizabeth Michael maarufu kama Lulu.

Baba Kanumba amesema kuwa amekuwa akioteshwa kuhusu uamuzi wa Mahakama na kwamba aliota Lulu ataachiwa huru.

Ameeleza kuwa kwa kifungo cha miaka miwili kwa kosa hilo ni adhabu ndoto inayofanana na ndoto yake ya kuachiwa huru. Hata hivyo, amesema kwakuwa amesikia mawakili wanaomtetea Lulu watakata rufaa dhidi ya hukumu hiyo, anaamini ndoto yake itatimia kwani ataachiwa huru.

“Nimekuwa naoteshwa, na kila nachokiota kinakuwa kweli. Nimesikia wanakata rufaa, na wakikata rufaa lazima Lulu ataachiwa. Nimeshaoteshwa kuhusu hilo,” Baba Kanumba ameiambia Amplifaya ya Clouds FM.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu