Nimeota Lulu ataachiwa huru.

In Kitaifa

Baba mzazi wa Marehemu Steven Kanumba anayefahamika kwa jina la Charles Kanumba amesema kuwa ameota ndoto kuhusu maamuzi ya Mahakama dhidi ya Elizabeth Michael maarufu kama Lulu.

Baba Kanumba amesema kuwa amekuwa akioteshwa kuhusu uamuzi wa Mahakama na kwamba aliota Lulu ataachiwa huru.

Ameeleza kuwa kwa kifungo cha miaka miwili kwa kosa hilo ni adhabu ndoto inayofanana na ndoto yake ya kuachiwa huru. Hata hivyo, amesema kwakuwa amesikia mawakili wanaomtetea Lulu watakata rufaa dhidi ya hukumu hiyo, anaamini ndoto yake itatimia kwani ataachiwa huru.

“Nimekuwa naoteshwa, na kila nachokiota kinakuwa kweli. Nimesikia wanakata rufaa, na wakikata rufaa lazima Lulu ataachiwa. Nimeshaoteshwa kuhusu hilo,” Baba Kanumba ameiambia Amplifaya ya Clouds FM.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu