Nusu ya Maiti 400 zazikwa Sierra Leone.

In Kimataifa

Wizara ya afya nchini Sierra Leone imesema kuwa, takriban nusu ya maiti 400 zilizotokana na maporomoko ya udongo na mafuriko, nje ya mji wa Freetown tayari zimezikwa.

Serikali ilisema mazishi ya pamoja yangefanyika leo, lakini mkuu wa wataalamu wa magonjwa kutoka mjini Freetown, amesema kwamba baadhi ya mazishi yalikuwa yamefanyika.

Imefahamika kuwa mazishi hayo yamehusisha miili ambayo, tayari ilitambuliwa au ilikuwa imeharibika vibaya.

Watu wapatao mia sita mpaka sasa, bado hawajulikani walipo.

Rais wa Sierra Leone ametangaza siku saba za maombolezi

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu