Nusu ya Maiti 400 zazikwa Sierra Leone.

In Kimataifa

Wizara ya afya nchini Sierra Leone imesema kuwa, takriban nusu ya maiti 400 zilizotokana na maporomoko ya udongo na mafuriko, nje ya mji wa Freetown tayari zimezikwa.

Serikali ilisema mazishi ya pamoja yangefanyika leo, lakini mkuu wa wataalamu wa magonjwa kutoka mjini Freetown, amesema kwamba baadhi ya mazishi yalikuwa yamefanyika.

Imefahamika kuwa mazishi hayo yamehusisha miili ambayo, tayari ilitambuliwa au ilikuwa imeharibika vibaya.

Watu wapatao mia sita mpaka sasa, bado hawajulikani walipo.

Rais wa Sierra Leone ametangaza siku saba za maombolezi

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu