Obama ajitokeza kufanya kazi ya mzee wa baraza Chicago.

In Kimataifa

Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama alifika katika majengo ya mahakama moja Chicago kuitikia wito wa kuhudumu kama mzee wa baraza la mahakama.

Hata hivyo, jaji alimwamuru aondoke bila kuhudumu.

Umati wa watu ulikusanyika katika jengo la manispaa la Daley Center kumuona rais huyo wa 44 wa Marekani, ambaye ana nyumba katika jiji la Illinois.

Bw Obama aliondoka kwake nyumbani mwendo wa saa tatu unusu saa za huko siku ya Jumatano na aliondoka majengo ya mahakama saa sita hivi mchana.

Kila mtu aliyekabidhiwa wito wa kuhudumu kama mzee wa baraza mahakamani hupokea hundi ya $17.20 (£13.11) kutoka kwa wilaya hiyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu