Papa Francis ameondoka Colombia akitoa miito ya maridhiano.

In Kimataifa

Papa Francis ameondoka Colombia akitoa miito ya maridhiano, baada ya nusu karne ya vita vya wenyewe kwa wenyewe na kumalizika kwa amani kwa mzozo wa umwagaji damu katika taifa jirani la Venezuela.

Kiongozi huyo wa kanisa Katoliki duniani mwenye umri wa miaka 80, aliongoza misa kadha katika mji wa Cartagena, mojawapo ya vivutio muhimu kwa watalii.

Papa Francis aliitembelea wilaya masikini ya San Francisco, ambako alibariki msingi wa jengo jipya la watu wasio na makazi.

Papa Francis aliondoka Cartagena jana jioni, kurejea mjini Roma.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu