Papa Francis ameondoka Colombia akitoa miito ya maridhiano.

In Kimataifa

Papa Francis ameondoka Colombia akitoa miito ya maridhiano, baada ya nusu karne ya vita vya wenyewe kwa wenyewe na kumalizika kwa amani kwa mzozo wa umwagaji damu katika taifa jirani la Venezuela.

Kiongozi huyo wa kanisa Katoliki duniani mwenye umri wa miaka 80, aliongoza misa kadha katika mji wa Cartagena, mojawapo ya vivutio muhimu kwa watalii.

Papa Francis aliitembelea wilaya masikini ya San Francisco, ambako alibariki msingi wa jengo jipya la watu wasio na makazi.

Papa Francis aliondoka Cartagena jana jioni, kurejea mjini Roma.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu