Pete iliopotea kwa miaka 13 yapatikana kwenye karoti.

In Kimataifa

Mwanamke mmoja wa Canada alipata karoti ya ziada na pete ya almasi baada ya kupatikana katika shamba lake la mboga miaka 13 baada ya kuipoteza.

Mary Grams mwenye umri wa miaka 84, alipata shida alipopoteza pete hiyo wakati akipalilia shamba la familia mjini Alberta 2004.

Lakini alifanya kupotea kwa pete hiyo kuwa siri kwa takriban miaka 13.

Aliamua kutomwambia mumewe wakati alipoipoteza kwa kuona aibu, lakini alimwambia mwanawe.

Alienda kununua pete iliofanana na aliyopoteza na kuvaa na kuendelea kuishi kama ambaye hakuna kilichotokea.

Siku ya Jumatatu mkwe wake aligundua siri hiyo na pete hiyo baada ya kuvuna karoti moja.

Karoti hiyo ilikuwa imeota kupitia pete hiyo,na Bi Daley ambaye sasa anaishi katika shamba hilo aliona pete hiyo wakati alipokuwa akiosha karoti moja kubwa.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu