PICHA 3 ZA TUNDU LISSU AKIWA NAIROBI.

In Afya, Kitaifa

Lissu akirudishwa wodini

Picha tatu katika taswira tofauti zikimuonyesha Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu kwa mara ya Kwanza kuonekana hadharani akiwa Nairobi anapopata matibabu baada ya kupigwa zaidi ya risasi 30 na wasiojulikana.

Lissu akifurahia Jambo.

Lissu akiwa katika chumba anapopata matibabu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu