Picha tatu za Ndege iliyobeba mwili wa aliyekuwa Mbunge wa vitimaalum CHADEMA.

In Kitaifa, Siasa

Picha tatu za ndege iliyobeba mwili wa Mbunge wa vitimaalumu kwa tiketi ya Chadema kuwakilisha kundi la walemavu Mhe.Dr.Elly Marko Macha aliyefariki akiwa uingereza kwenye matibabu,ndege hiyoiliubeba mwili huo kutokea Dodoma na kuushusha katika uwanja wa ndege wakimataifa Kilimanjaro International Airport (KIA).

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu