Picha tatu za Ndege iliyobeba mwili wa aliyekuwa Mbunge wa vitimaalum CHADEMA.

In Kitaifa, Siasa

Picha tatu za ndege iliyobeba mwili wa Mbunge wa vitimaalumu kwa tiketi ya Chadema kuwakilisha kundi la walemavu Mhe.Dr.Elly Marko Macha aliyefariki akiwa uingereza kwenye matibabu,ndege hiyoiliubeba mwili huo kutokea Dodoma na kuushusha katika uwanja wa ndege wakimataifa Kilimanjaro International Airport (KIA).

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu