Police nchini Uganda washutumiwa kuwatesa washukiwa wa mauaji.

In Kimataifa

Polisi nchini Uganda wanakabiliwa na shutuma za kuwatesa washukiwa wa mauaji, ya aliyekuwa naibu mkuu wa polisi Andrew Kawessi pamoja na kuwakamata watoto.Hata hivyo Rais Yoweri Museveni amewatetea polisi hao akisema kuwa,washukiwa hao wanahitaji kipigo zaidi ya walichopata.
Shutuma dhidi ya polisi zinafuatia malalamiko ya washukiwa walipofikishwa mbele ya hakimu, wakikabiliwa na kesi ya mauaji ya aliyekuwa naibu wa mkuu wa polisi Felix Kawesi.
Washukiwa wameieleza mahakama kuwa polisi wanawapiga, pamoja na mateso mengine wakiwalazimisha kutoa taarifa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu