Police nchini Uganda washutumiwa kuwatesa washukiwa wa mauaji.

In Kimataifa

Polisi nchini Uganda wanakabiliwa na shutuma za kuwatesa washukiwa wa mauaji, ya aliyekuwa naibu mkuu wa polisi Andrew Kawessi pamoja na kuwakamata watoto.Hata hivyo Rais Yoweri Museveni amewatetea polisi hao akisema kuwa,washukiwa hao wanahitaji kipigo zaidi ya walichopata.
Shutuma dhidi ya polisi zinafuatia malalamiko ya washukiwa walipofikishwa mbele ya hakimu, wakikabiliwa na kesi ya mauaji ya aliyekuwa naibu wa mkuu wa polisi Felix Kawesi.
Washukiwa wameieleza mahakama kuwa polisi wanawapiga, pamoja na mateso mengine wakiwalazimisha kutoa taarifa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu