Polisi nchini Uganda imewakamata karibu watu 56 hapo jana kwa kuandaa mikutano ya hadhara kinyume cha sheria.

In Kimataifa
Polisi nchini Uganda imewakamata karibu watu 56 hapo jana kwa kuandaa mikutano ya hadhara kinyume cha sheria.
Wanaharakati waliingia mitaani kuupinga mpango wa serikali unaodai kuondoa ukomo wa umri kwa wagombea wa urais, ikiwa ni uwezekano wa kumwezesha Rais Yoweri Museveni ambaye ana umri wa miaka 72 kuendelea kuwa madarakani baada ya mwaka wa 2021.
Kwa sasa, katiba inawazuia raia wa zaidi ya umri wa miaka 75 kugombea wadhifa wa urais.
Maafisa wa upinzani wanalalamika kuhusu ukamataji huo, wakati pia wakiikosoa serikali kwa kuwakandamiza wapinzani wa mpango huo.
Museveni, ambaye amekuwa madarakani tangu mwaka wa 1986, aliwaambia waandishi wa habari kuwa hana ufahamu wa mpango huo unaoweza kuurefusha utawala wake.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu