Polisi wa Ufaransa wamemfyatulia risasi na kumjeruhi mtu mmoja mjini Paris, ambaye alimshambulia afisa wa polisi kwa kutumia nyundo.

In Kimataifa

Polisi wa Ufaransa wamemfyatulia risasi na kumjeruhi mtu mmoja mjini Paris, ambaye alimshambulia afisa wa polisi kwa kutumia nyundo.

Tukio hilo limeripotiwa kufanyika nje kidogo ya kanisa kuu la Notre Dame nchini humo.

Kufuatia tukio hilo kanisa hilo lilidhibitiwa kwa muda, na hakuna mtu aliyeruhusiwa kuingia ndani au kutoka nje kwa kipindi cha saa moja.

Ufaransa ipo katika hali ya hatari, kufuatia msururu wa mashambulizi ya kigaidi katika miaka ya hivi karibuni

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu