Polisi yatoa kauli kwa dada aliyeibiwa Mil 20.

In Kitaifa

Mfanyabiashara ambaye ni Wakala wa miamala ya simu na
kibenki Mkoani Manyara Tatu Athuman,amejitokeza na
kuthibitika kuwa ndiye aliibiwa Milioni 20 baada ya Wahalifu
kuvunja nyumbani kwake na baadaye kukamatwa na Polisi
wakiwa nyumba ya kulala Wageni.


Kamanda wa Polisi ktk mkoa wa Manyara George Katabazi
amesema wamejiridhisha kuwa,Mfanyabiashara huyo ndiye
aliyeibiwa fedha hizo,huku wakiendelea na kubaini mtandao huo
wa uhalifu na kuwataka Wafanyabihashara kuweka Walinzi
katika maeneo yao ya biashara.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu