Prof.Makame Mbarawa atadhuria mkutano wa wataalamu mbali mbali barani Africa utakaofanyika Kigali.

In Kitaifa

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa  amehudhuria mkutano wa wataalamu mbalimbali Barani Afrika ,utakaofanyika Kigali nchini Rwanda ambapo watajadili masuala ya maendeleo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) ,husasani katika ukanda wa Afrika Mashariki.Katika mkutano huo, Prof. Mbarawa amemwakilisha Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Magufuli ambapo mkutano huo unatakuwa ni wa siku mbili.

Aidha, Prof. Mbarawa ataelezea kwa kina changamoto na mafanikio yaliyofikiwa na Tanzania  ,katika uwekezaji  wa Miundombinu ya Habari na Mawasiliano, Maendeleo ya Sera na Miongozo inayotumika hapa nchini, katika kusimamia sekta hiyo kwa lengo la kukuza uchumi wa nchi na kuiunganisha Tanzania na Mataifa mengine.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu