Prof.Makame Mbarawa atadhuria mkutano wa wataalamu mbali mbali barani Africa utakaofanyika Kigali.

In Kitaifa

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa  amehudhuria mkutano wa wataalamu mbalimbali Barani Afrika ,utakaofanyika Kigali nchini Rwanda ambapo watajadili masuala ya maendeleo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) ,husasani katika ukanda wa Afrika Mashariki.Katika mkutano huo, Prof. Mbarawa amemwakilisha Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Magufuli ambapo mkutano huo unatakuwa ni wa siku mbili.

Aidha, Prof. Mbarawa ataelezea kwa kina changamoto na mafanikio yaliyofikiwa na Tanzania  ,katika uwekezaji  wa Miundombinu ya Habari na Mawasiliano, Maendeleo ya Sera na Miongozo inayotumika hapa nchini, katika kusimamia sekta hiyo kwa lengo la kukuza uchumi wa nchi na kuiunganisha Tanzania na Mataifa mengine.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu