Profesa Maghembe asema sekta ya utalii kukua kwa kasi kubwa.

In Kitaifa
Katika kuhakikisha kuwa Sekta ya Utalii nchini inaendelea kuliingizia taifa fedha za kigeni na kukuza uchumi, Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe amesema kuwa Sekta hiyo inakuwa kwa kasi kubwa.
Amesema kuwa hali hiyo inatokana na kuongezeka kwa idadi kubwa ya watalii wanaokuja nchini kwa ajili ya kutembelea vivutio mbalimbali ambapo mwaka jana waliingia watalii milioni 1.2.
Ameyasema hayo Jijini Dar es salaam wakati wa kukabidhi vyeti vya kutambua hadhi ya baadhi ya hoteli za kitalii  hapa nchini.
Hata hivyo, kwa upande wake Mwenyekiti Shirikisho la vyama vya Utalii Tanzania (TCT), Abdulkadir Mohamed ameahidi kuendelea kuboresha huduma za hoteli hapa nchini ili ziweze kuendelea kuwa kivutio kikubwa kwa watalii.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu