Profesa Maghembe asema sekta ya utalii kukua kwa kasi kubwa.

In Kitaifa
Katika kuhakikisha kuwa Sekta ya Utalii nchini inaendelea kuliingizia taifa fedha za kigeni na kukuza uchumi, Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe amesema kuwa Sekta hiyo inakuwa kwa kasi kubwa.
Amesema kuwa hali hiyo inatokana na kuongezeka kwa idadi kubwa ya watalii wanaokuja nchini kwa ajili ya kutembelea vivutio mbalimbali ambapo mwaka jana waliingia watalii milioni 1.2.
Ameyasema hayo Jijini Dar es salaam wakati wa kukabidhi vyeti vya kutambua hadhi ya baadhi ya hoteli za kitalii  hapa nchini.
Hata hivyo, kwa upande wake Mwenyekiti Shirikisho la vyama vya Utalii Tanzania (TCT), Abdulkadir Mohamed ameahidi kuendelea kuboresha huduma za hoteli hapa nchini ili ziweze kuendelea kuwa kivutio kikubwa kwa watalii.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu