PSG Watinga Fainali za Mabingwa Ulaya.

In Kimataifa, Michezo

PSG usiku wa kuamkia leo imefanikiwa kushinda kwa mabao 3-
0 dhidi ya Leipzig mjini Lisbon. 


Mchezo huo wa hatua ya nusu fainali ulikuwa na ushindani
mkubwa na mwisho wa siku PSG wakaibuka wababe na kutinga
mazima hatua ya fainali.


Kipindi cha Kwanza PSG ilitupia mabao mawili ambapo bao la
kwanza lilipachikwa na Marquinhos dakika ya 13 na Di Maria
alifunga bao la pili dakika ya 42 na bao la tatu na la mwisho
lilipachikwa na Benatti dakika ya 56.


Fainali ya mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya inatarajiwa
kuchezwa Jumapili, Agosti 23 na mshindi kati ya mchezo wa
Bayern Munich na Lyon.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu