Raia wa Uganda wenye matumaini ya kusafiri nje ya taifa hilo wamekwama baada ya taifa hilo kuishiwa pasi za kusafiria.

In Kimataifa
Raia wa Uganda wenye matumaini ya kusafiri nje ya taifa hilo wamekwama baada ya taifa hilo kuishiwa pasi za kusafiria.
Afisa mmoja wa wizara ya Wizara ya mambo ya Ndani aliiambia DW kwamba wana deni wanalopaswa kulipa kwa wachapishaji nchini Uingereza.
Tatizo hilo linatarajiwa kudumu kwa takribani mwezi mmoja. Na katika kipindi hiki wizara inatoa pasipoti kwa dharura za matibabu tu.
Kamishna wa Udhibiti wa Pasipoti amesema ongezeko la maombi limesababishwa na idadi kubwa yawatu wanaokwenda kufanya kazi Mashariki ya Kati, ambapo kwa siku kitengo hicho kimekua kikitoa pasipoti 700.
Mwaka jana wizara ililazimima kusimamisha utoaji wa pasipoti na kurefusha pasipoti baada kwisha kabisa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu