Raia wa Uganda wenye matumaini ya kusafiri nje ya taifa hilo wamekwama baada ya taifa hilo kuishiwa pasi za kusafiria.

In Kimataifa
Raia wa Uganda wenye matumaini ya kusafiri nje ya taifa hilo wamekwama baada ya taifa hilo kuishiwa pasi za kusafiria.
Afisa mmoja wa wizara ya Wizara ya mambo ya Ndani aliiambia DW kwamba wana deni wanalopaswa kulipa kwa wachapishaji nchini Uingereza.
Tatizo hilo linatarajiwa kudumu kwa takribani mwezi mmoja. Na katika kipindi hiki wizara inatoa pasipoti kwa dharura za matibabu tu.
Kamishna wa Udhibiti wa Pasipoti amesema ongezeko la maombi limesababishwa na idadi kubwa yawatu wanaokwenda kufanya kazi Mashariki ya Kati, ambapo kwa siku kitengo hicho kimekua kikitoa pasipoti 700.
Mwaka jana wizara ililazimima kusimamisha utoaji wa pasipoti na kurefusha pasipoti baada kwisha kabisa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu