Rais aombwa kutazama upya swala la wanafunzi wanaopata ujauzito wakiwa mashuleni.

In Kitaifa, Siasa

Wengi mtakuwa mnakumbuka tamko la mheshimiwa Rais wa Jamuhuhuri ya muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli, alilolitoa akiwa ziarani mkoani Pwani.

Rais alisema katika Serikali ya Awamu ya Tano hakutakuwa na mwanafunzi atayepata ujauzito akiwa shuleni, atakaeruhusiwa kuendelea na masomo baada ya kujifungua.

Tamko hilo liliibua hisa tofauti kwa wadau mbalimbali hasa watetezi wa haki za wanawake na watoto wa kike, wakisema inawanyima watoto wa kike haki ya kupata elimu, kwa sababu wengi wanaopata ujauzito wakiwa shuleni hawakusudii bali wengine hubakwa.

 Mbunge wa Tarime Mjini Ester Matiko  ambaye ni mmoja wa wadau wanaofanya jitihada kumlinda mtoto wa kike, ambaye amekuwa na hisia tofauti na tamko la Rais Magufuli na kumtaka kulikiria kwa mara nyingine.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu