Rais aombwa kutazama upya swala la wanafunzi wanaopata ujauzito wakiwa mashuleni.

In Kitaifa, Siasa

Wengi mtakuwa mnakumbuka tamko la mheshimiwa Rais wa Jamuhuhuri ya muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli, alilolitoa akiwa ziarani mkoani Pwani.

Rais alisema katika Serikali ya Awamu ya Tano hakutakuwa na mwanafunzi atayepata ujauzito akiwa shuleni, atakaeruhusiwa kuendelea na masomo baada ya kujifungua.

Tamko hilo liliibua hisa tofauti kwa wadau mbalimbali hasa watetezi wa haki za wanawake na watoto wa kike, wakisema inawanyima watoto wa kike haki ya kupata elimu, kwa sababu wengi wanaopata ujauzito wakiwa shuleni hawakusudii bali wengine hubakwa.

 Mbunge wa Tarime Mjini Ester Matiko  ambaye ni mmoja wa wadau wanaofanya jitihada kumlinda mtoto wa kike, ambaye amekuwa na hisia tofauti na tamko la Rais Magufuli na kumtaka kulikiria kwa mara nyingine.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu