Rais Dkt. Magufuli azindua daraja la furahisha.

In Kitaifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, yupo mkoani Mwanza kwa ziara ya kikazi ya siku 2.


Leo Rais Magufuli ameianza ziara hiyo kwa kuongoza sherehe za ufunguzi wa daraja la waenda kwa miguu la Furahisha,lilipo katia wilayani ya Ilemela mkoani humo.
Katika hotuba yake rais Magufuli amezunmgumzia miradi mingine mikubwa inayofanyika mkoani humo, na kuwataka wakazi wa Mwanza kuhakikisha wanalitunza daraja hilo.

Pia Rais magufuli amewathibitishia wakazi wa mwanza kuwa, chini ya uongozi wake yaliyoshindikana lazima yawezekane, likiwepo la kuupanua uwanja wa ndege wa Mwanza.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu