Rais Jacob Zuma kuzuru Nchini leo.

In Kitaifa

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma anatarajiwa kuzuru nchini leo, katika ziara ya rasmi ya siku tatu kufuatia mwaliko wa rais John Pombe Magufuli.
Waziri wa maswala ya kigeni nchini Tanzania Augustine Mahiga, amesema ziara hiyo inalenga kuimarisha uhusiano wa kibiashara,na kuangazia maswala mbali mbali ya maendeleo.
Rais Zuma ataandamana na mawaziri sita, pamoja na wafanyibiashara kadhaa kutoka Afrika Kusini.
Atakuwa nchini kuanzia leo tarehe 10 hadi 13, akitarajiwa kufanya mazungumzo na mwenyeji wake rais Magufuli ikulu ya rais jijini Dar es salaam.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu