Rais Jacob Zuma kuzuru Nchini leo.

In Kitaifa

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma anatarajiwa kuzuru nchini leo, katika ziara ya rasmi ya siku tatu kufuatia mwaliko wa rais John Pombe Magufuli.
Waziri wa maswala ya kigeni nchini Tanzania Augustine Mahiga, amesema ziara hiyo inalenga kuimarisha uhusiano wa kibiashara,na kuangazia maswala mbali mbali ya maendeleo.
Rais Zuma ataandamana na mawaziri sita, pamoja na wafanyibiashara kadhaa kutoka Afrika Kusini.
Atakuwa nchini kuanzia leo tarehe 10 hadi 13, akitarajiwa kufanya mazungumzo na mwenyeji wake rais Magufuli ikulu ya rais jijini Dar es salaam.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu