RAIS John Magufuli amekutana na timu ya wataalamu wa masuala ya umeme na ujenzi

In Kitaifa

RAIS John Magufuli amekutana na timu ya wataalamu wa masuala ya umeme na ujenzi, wa miundombinu ya mabwawa ya maji kujadili mradi mkubwa wa kuzalisha umeme mwingi hapa nchini.

Rais amekutana na wataalamu hao na kujadiliana kuhusu utekelezaji wa mradi  mkubwa wa uzalishaji wa umeme, katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler’s Gorge Power Project) wenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,100 za umeme.

Rais amekutana na wataalamu hao ikiwa ni utekelezaji wa nia yake ya kuhakikisha mradi huo unaanza kujengwa haraka iwezekanavyo, na kuzalisha umeme mwingi utakaosaidia kuharakisha maendeleo hapa nchini, hususani ujenzi wa viwanda.

Leo  Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegn anawatuma wataalamu wake waliojenga mradi mkubwa wa bwawa la maji la kuzalisha umeme nchini  Ethiopia.

 

 

 

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu