RAIS John Magufuli amekutana na timu ya wataalamu wa masuala ya umeme na ujenzi

In Kitaifa

RAIS John Magufuli amekutana na timu ya wataalamu wa masuala ya umeme na ujenzi, wa miundombinu ya mabwawa ya maji kujadili mradi mkubwa wa kuzalisha umeme mwingi hapa nchini.

Rais amekutana na wataalamu hao na kujadiliana kuhusu utekelezaji wa mradi  mkubwa wa uzalishaji wa umeme, katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler’s Gorge Power Project) wenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,100 za umeme.

Rais amekutana na wataalamu hao ikiwa ni utekelezaji wa nia yake ya kuhakikisha mradi huo unaanza kujengwa haraka iwezekanavyo, na kuzalisha umeme mwingi utakaosaidia kuharakisha maendeleo hapa nchini, hususani ujenzi wa viwanda.

Leo  Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegn anawatuma wataalamu wake waliojenga mradi mkubwa wa bwawa la maji la kuzalisha umeme nchini  Ethiopia.

 

 

 

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu