Rais Magufuli aanza ziara ya siku tatu Mkoa wa Pwani.

In Kitaifa

RAIS John Magufuli leo anaanza ziara ya kikazi ya siku tatu katika Mkoa wa Pwani na anatarajia kuzindua viwanda vitano.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Dar es Salaam jana, katika ziara hiyo Rais Magufuli atazindua viwanda vikubwa vitano ambavyo ni kiwanda cha vifungashio (Global Packaging Co. Ltd) na kiwanda cha matrekta (Ursus-TAMCO Co. Ltd).

Pia atazindua kiwanda cha chuma (Kiluwa Steel Group), kiwanda cha kukausha matunda (Elven Agric Company) na atafungua kiwanda cha vinywaji baridi (Sayona Fruits).

Pamoja na hayo, pia atazindua mradi wa maji wa Ruvu pamoja na barabara ya Bagamoyo – Msata ikiwa ni pamoja na kuzungumza na wananchi katika mikutano ya hadhara iliyoandaliwa.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu