Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza bandarini.

In Kitaifa

Rais John Magufuli afanya ziara ya kushitukiza Bandarini Dar es Salaam leo asubuhi. Pamoja na mambo mengine amezipa wiki moja mamlaka zinazohusika kumtafuta mmiliki wa magari ya kubeba wagonjwa yapatayo 50 ambayo yapo bandarini hapo tangu mwaka 2015. Nyaraka zinaonyesha kuwa magari hayo yameagizwa na Ofisi ya Rais

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu