Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza bandarini.

In Kitaifa

Rais John Magufuli afanya ziara ya kushitukiza Bandarini Dar es Salaam leo asubuhi. Pamoja na mambo mengine amezipa wiki moja mamlaka zinazohusika kumtafuta mmiliki wa magari ya kubeba wagonjwa yapatayo 50 ambayo yapo bandarini hapo tangu mwaka 2015. Nyaraka zinaonyesha kuwa magari hayo yameagizwa na Ofisi ya Rais

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu