Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya KADCO.

In Kitaifa

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemfuta kazi aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Kilimanjaro Airports Development Company (KADCO), Balozi Hassan O Gumbo Kibelloh.
Kufuatia utenguzi huo, Rais Magufuli amemteua Gregory George Teu kuwa mwenyekiti wa Bodi hiyo ya (KADCO),Na uteuzi huu unaanza leo October 16 2017.
Nyumba za ibada zakumbwa na bomoabomoa …
Mhandisi wa Tanroads ambaye anasimamia zoezi la ubomoaji wa nyumba, Jonson Rutechula ametangaza idadi ya nyumba za ibada 24 zinatarajiwa kubomolewa leo ili kupisha upanuzi wa barabara ya Morogoro inayoanzia Kimara hadi Kiluvya.
Ubomoaji wa nyumba hizo za ibada ni mwendelezo wa uboamoaji wa nyumba takribani 1300 za wakazi wa maeneo hayo zinazodaiwa kujengwa ndani ya mita 121.5 ya barabara hiyo.
Ambapo nyumba zaidi ya 1000 zimebolewa mpaka sasa, amesema kwa siku ya leo kazi maalumu itakuwa ni kubomoa nyumba za ibada.
Aidha  shughuli za ubomoaji wa nyumba zimekamilika kwa asilimia kubwa ,zimesalia  nyumba za ibada tu.
Kazi ya ubomoaji itaanza mapema asubuhi ya leo kuanzia eneo la Kimara hadi Kiluvya.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu