Rais Mgufuli kuzindua bomba la Mfuta Agosti 5, 2017

In Kitaifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli anawasili Mkoani Tanga leo Agosti 3, 2017 kwa ajili ya uzinduzi wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima nchini Uganda  hadi  Bandari ya Tanga  nchini Tanzania.

Mara baada ya kuwasili Mheshimiwa  Raisi alimpa fursa Diwani wa Kata ya Msata kueleza changamoto ikiwamo kero ya Maji ambayo ni kero kubwa kwa Wananchi hao.

Kata hivyo diwani huyo amemweleza Mheshimiwa Raisi Magufuli kuwa  hospitali ya Wilaya ambayo imetengewa kiasi cha shilingi  Milioni  500,bado haijaendelea mpaka sasa hali ambayo inawapelekea wananchi kutafuta huduma za afya maeneo mengine kutokana na Uhaba wa Fedha kutoka Serikali.

Aidha raisi Magufuli amewashukuru wananchi kwa kumpigia kura nyingi na kusema kuwa Wameanza kufanyia  Ahadi  alizoahidi ikiwa ni Pamoja na Maji,Umeme Vijijini ambao umekwishafanikiwa na kuahidi suala la maji litakuwa historia katika eneo hilo.

Uzinduzi huo unatarajiwa  kutafanyika Agosti 5, 2017.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu