Rais Mgufuli kuzindua bomba la Mfuta Agosti 5, 2017

In Kitaifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli anawasili Mkoani Tanga leo Agosti 3, 2017 kwa ajili ya uzinduzi wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima nchini Uganda  hadi  Bandari ya Tanga  nchini Tanzania.

Mara baada ya kuwasili Mheshimiwa  Raisi alimpa fursa Diwani wa Kata ya Msata kueleza changamoto ikiwamo kero ya Maji ambayo ni kero kubwa kwa Wananchi hao.

Kata hivyo diwani huyo amemweleza Mheshimiwa Raisi Magufuli kuwa  hospitali ya Wilaya ambayo imetengewa kiasi cha shilingi  Milioni  500,bado haijaendelea mpaka sasa hali ambayo inawapelekea wananchi kutafuta huduma za afya maeneo mengine kutokana na Uhaba wa Fedha kutoka Serikali.

Aidha raisi Magufuli amewashukuru wananchi kwa kumpigia kura nyingi na kusema kuwa Wameanza kufanyia  Ahadi  alizoahidi ikiwa ni Pamoja na Maji,Umeme Vijijini ambao umekwishafanikiwa na kuahidi suala la maji litakuwa historia katika eneo hilo.

Uzinduzi huo unatarajiwa  kutafanyika Agosti 5, 2017.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu