Rais mpya wa Ufaransa, Emmanuel Macron leo anatarajiwa kutangaza jina la waziri mkuu wa taifa hilo.

In Kimataifa
     Rais mpya wa Ufaransa, Emmanuel Macron leo anatarajiwa kutangaza jina la waziri mkuu wa taifa hilo.
Lakini litaidhinishwa na bunge la Ufaransa baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa bunge mwezi ujao.
Na kama chama kingine kitajinyiakulia wingi wa viti, atapaswa kutaja waziri mkuu miongoni mwa wabunge wa chama hicho na kutakuwa na hatari ya kupoteza udhibiti katika ajenda za siasa za ndani.
Mpaka wakati huu Macron hajaonesha ishara yoyote ni nani ambae atamchagua.
Vyombo vya habari vya ufaransa vimetaja wagombea kadhaa, miongoni mwa hao yupo Edouardo Philippe, meya muhafidhina wa eneo la pwani la Le Havre nchini Ufaransa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu