Rais mpya wa Ufaransa, Emmanuel Macron leo anatarajiwa kutangaza jina la waziri mkuu wa taifa hilo.

In Kimataifa
     Rais mpya wa Ufaransa, Emmanuel Macron leo anatarajiwa kutangaza jina la waziri mkuu wa taifa hilo.
Lakini litaidhinishwa na bunge la Ufaransa baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa bunge mwezi ujao.
Na kama chama kingine kitajinyiakulia wingi wa viti, atapaswa kutaja waziri mkuu miongoni mwa wabunge wa chama hicho na kutakuwa na hatari ya kupoteza udhibiti katika ajenda za siasa za ndani.
Mpaka wakati huu Macron hajaonesha ishara yoyote ni nani ambae atamchagua.
Vyombo vya habari vya ufaransa vimetaja wagombea kadhaa, miongoni mwa hao yupo Edouardo Philippe, meya muhafidhina wa eneo la pwani la Le Havre nchini Ufaransa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu