Rais Muhammadu Buhari atarajia kurejea nyumbani muda mfupi ujao

In Kimataifa

Kaimu Rais wa Nigeria amesema kuwa Rais Muhammadu Buhari anatarajiwa kurejea nyumbani katika muda mfupi ujao baada ya kuwa jijini London, Uingereza kwa zaidi ya miezi miwili kwa ajili ya matibabu wakati wasiwasi ukizidi kuhusu afya yake.

Makamu wa Rais Yemi Osinbajo amezungumza na waandishi wa habari jana, siku moja baada ya kukutana na Buhari.

Osinbajo amesema Buhari alikuwa katika hali nzuri na anaendelea kupata nafuu haraka. Alisema walizungumza kwa karibu saa moja.

Osinbajo hakutoa maelezo mengine kuhusu afya ya Buhari aliye na umri wa miaka 74, ambaye aliondoka Nigeria kwenda London mnamo Mei 7.

Buhari pia amemaliza karibu wiki saba mjini London mapema mwaka huu, kutokana na matatizo ya kiafya na kisha baadaye akasema hakuwahi kuwa mgonjwa kiasi hicho maishani mwake.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu