Rais Museven wa Uganda atetea uongozi wake na kuwashutumu wanaomuita Dikteta.

In Kimataifa

 Raia nchini Uganda wamekuwa wakisambaza mahojiano ya hivi karibuni ya rais Museveni na shirika la habari la Aljazeera ambapo alizungumzia maswala kadhaa.

Katika mahojiano hayo, alitetea kipindi chake cha miongo mitatau kama rais wa Uganda na kuwashutumu wale wanaomuita dikteta, akisema kuwa huenda amekuwa dikteta mzuri kwa sababu amekuwa akichaguliwa na wananchi mara tano.

Alizungumzia kufungwa kwa mwanaharakati Stella Nyanzi ambaye anazuiliwa kifungoni amesema kuwa  hana haki ya kuwatusi wengine.

Haki zinaenda sambamba na majukumu, iwapo unajua chochte kuhusu demokrasi. Alikataa kuingizwa katika mazungumzo ya vita vilivyokuwa katika jimbo la magharibi la Kasese,ambapo vikosi vya usalama vilikabiuliana na walinzi wa mfalme wa eneo hilo, mzozo uliowacha makumi kufariki na wengine wengi kuuawa akisema kuwa ni swala ambalo linaangaziwa mahakamani”.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu