Rais Museven wa Uganda atetea uongozi wake na kuwashutumu wanaomuita Dikteta.

In Kimataifa

 Raia nchini Uganda wamekuwa wakisambaza mahojiano ya hivi karibuni ya rais Museveni na shirika la habari la Aljazeera ambapo alizungumzia maswala kadhaa.

Katika mahojiano hayo, alitetea kipindi chake cha miongo mitatau kama rais wa Uganda na kuwashutumu wale wanaomuita dikteta, akisema kuwa huenda amekuwa dikteta mzuri kwa sababu amekuwa akichaguliwa na wananchi mara tano.

Alizungumzia kufungwa kwa mwanaharakati Stella Nyanzi ambaye anazuiliwa kifungoni amesema kuwa  hana haki ya kuwatusi wengine.

Haki zinaenda sambamba na majukumu, iwapo unajua chochte kuhusu demokrasi. Alikataa kuingizwa katika mazungumzo ya vita vilivyokuwa katika jimbo la magharibi la Kasese,ambapo vikosi vya usalama vilikabiuliana na walinzi wa mfalme wa eneo hilo, mzozo uliowacha makumi kufariki na wengine wengi kuuawa akisema kuwa ni swala ambalo linaangaziwa mahakamani”.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu