Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi amezindua maadhimisho ya miaka 10 tangu Burundi ijiunge na Umoja wa Afrika Mashariki EAC

In Kimataifa

Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi amezindua maadhimisho ya miaka 10 tangu Burundi ijiunge na Umoja wa Afrika Mashariki EAC, na kuahidi kuihimiza nchi yake ifungamane zaidi na umoja huo.

Jumuiya hiyo inayoundwa na nchi 6 yaani Burundi, Kenya, Rwanda, Tanzania, Sudan Kusini na Uganda, bado haijatimiza muungano wa kifedha na shirikisho la kisiasa ambayo ni hatua ya mwisho ya mafungamano ya umoja huo.

Rais Nkurunziza amesema Burundi inatakiwa kusawazisha sheria zake hasa zile za usimamizi wa kodi na kanda hiyo ili isiwe vizuizi kwenye mchakato wa kutimiza mafungamano kamili ya umoja huo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu