Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi amezindua maadhimisho ya miaka 10 tangu Burundi ijiunge na Umoja wa Afrika Mashariki EAC

In Kimataifa

Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi amezindua maadhimisho ya miaka 10 tangu Burundi ijiunge na Umoja wa Afrika Mashariki EAC, na kuahidi kuihimiza nchi yake ifungamane zaidi na umoja huo.

Jumuiya hiyo inayoundwa na nchi 6 yaani Burundi, Kenya, Rwanda, Tanzania, Sudan Kusini na Uganda, bado haijatimiza muungano wa kifedha na shirikisho la kisiasa ambayo ni hatua ya mwisho ya mafungamano ya umoja huo.

Rais Nkurunziza amesema Burundi inatakiwa kusawazisha sheria zake hasa zile za usimamizi wa kodi na kanda hiyo ili isiwe vizuizi kwenye mchakato wa kutimiza mafungamano kamili ya umoja huo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu