Rais Samia afungua mkutano wa haki,Amani na Maridhiano.

In Uncategorized

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu
Hassan, leo Aprili 05 amefungua mkutano wa kitaifa wa haki,
amani na maridhiano Tanzania.


Mkutano huo utakaofanyika kwa siku 2 utahusisha kumkabidhi
uenyekiti wa TCD Abdulrhaman Kinana, baada ya Zitto Kabwe
kumaliza muda wake.

Rais Samia Suluhu Hassan
amewataka wajumbe wa mkutano
huo,kuweka mbele utaifa na wazingatie mazingira yaliyopo hapa
nchini katika yale watakayoenda kuyajadili.

Katika hatua nyingine Rais Samia amesema kuwa,Tanzania
haitajengwa na mtu mmoja au chama kimoja bali itajengwa na
Watanzania wote.


Hivyo kwa pamoja nia lazima wajadili mambo yote iwe sera,
sheria na dira ni lazima vijadiliwe na wote kama Watanzania.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu