Rais (TLS) awahimiza wafanyakazi kuhakikisha wanashikamana na kudai haki zao za msingi.

In Kitaifa
raisi wa chama cha wanasheria tanganyika (TLS) Tundu Lissu amewahimiza wafanyakazi nchini kupitia vyama vyao ,vya wafanyakazi kuhakikisha wanashikamana kudai haki zao za msingi, ili tija wanayotoa iendane na mapato.
Bw. Lissu ameitoa rai hiyo mjini Dodoma, wakati alipokutana na wanachama wa shirikisho la vyama huru vya wafanyakazi (TAFETU), ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani.
Lissu ambaye pia ni rais wa Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS) na Mbunge wa Singida Mashariki, amesema umefika wakati sasa kwa shirikisho hilo la (TAFETU) kudai haki za wanachama wao, badala ya kuziomba, kwa sababu ni haki yao.
Mwenyekiti wa taifa wa (TAFETU) Bw. Albert Machumu, amesema hakuna haja waajiri kuvichukia vyama vya wafanyakazi nchini, kwa kuwa vyama hivyo vinatekeleza majukumu yake, kwa mujibu wa sheria za nchi.
Shirikisho hilo la (TAFETU) linaundwa na vyama sita, huku kukiwa na vyama vingine 22 visivyo chini ya shirikisho hilo wala lile la (TUCTA).

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu