Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dk John Magufuli amehutubia katika kikao cha 18 cha wakuu wa nchi wa jumuiya ya afrika mshariki ambapo rais Magufuli amesema kuwa dhamira ya kuanzishwa kwa umoja huo na viongozi waanzilishi ilikuwa na dhamira ya kujenga umoja imara.

In Kitaifa

Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania  Dk John Magufuli amehutubia katika kikao cha  18 cha wakuu wa nchi wa jumuiya ya afrika mshariki ambapo rais Magufuli amesema kuwa dhamira ya  kuanzishwa kwa umoja huo na viongozi waanzilishi  ilikuwa na dhamira ya kujenga umoja imara.

Hata hivyo raisi magufuli ameelezea mafanikio wakati akiwa mwenyekiti wa umoja huo ikiwa ni pamoja na ujenzi wa barabara.

Lakini pia raisi magufuli pamoja na raisi museveni wamesaini mkataba wa ujenzi wa bomba la mafuta toka hoima nchini Uganda hadi tanga Tanzania nakuwa  bomba hilo ni muhimu kwa Tanzania na Uganda.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu