Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dk John Magufuli amehutubia katika kikao cha 18 cha wakuu wa nchi wa jumuiya ya afrika mshariki ambapo rais Magufuli amesema kuwa dhamira ya kuanzishwa kwa umoja huo na viongozi waanzilishi ilikuwa na dhamira ya kujenga umoja imara.

In Kitaifa

Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania  Dk John Magufuli amehutubia katika kikao cha  18 cha wakuu wa nchi wa jumuiya ya afrika mshariki ambapo rais Magufuli amesema kuwa dhamira ya  kuanzishwa kwa umoja huo na viongozi waanzilishi  ilikuwa na dhamira ya kujenga umoja imara.

Hata hivyo raisi magufuli ameelezea mafanikio wakati akiwa mwenyekiti wa umoja huo ikiwa ni pamoja na ujenzi wa barabara.

Lakini pia raisi magufuli pamoja na raisi museveni wamesaini mkataba wa ujenzi wa bomba la mafuta toka hoima nchini Uganda hadi tanga Tanzania nakuwa  bomba hilo ni muhimu kwa Tanzania na Uganda.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu