Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dk John Magufuli amehutubia katika kikao cha 18 cha wakuu wa nchi wa jumuiya ya afrika mshariki ambapo rais Magufuli amesema kuwa dhamira ya kuanzishwa kwa umoja huo na viongozi waanzilishi ilikuwa na dhamira ya kujenga umoja imara.

In Kitaifa

Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania  Dk John Magufuli amehutubia katika kikao cha  18 cha wakuu wa nchi wa jumuiya ya afrika mshariki ambapo rais Magufuli amesema kuwa dhamira ya  kuanzishwa kwa umoja huo na viongozi waanzilishi  ilikuwa na dhamira ya kujenga umoja imara.

Hata hivyo raisi magufuli ameelezea mafanikio wakati akiwa mwenyekiti wa umoja huo ikiwa ni pamoja na ujenzi wa barabara.

Lakini pia raisi magufuli pamoja na raisi museveni wamesaini mkataba wa ujenzi wa bomba la mafuta toka hoima nchini Uganda hadi tanga Tanzania nakuwa  bomba hilo ni muhimu kwa Tanzania na Uganda.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu