Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa kuna haja ya kukabiliana na itikadi kali katika dini ya kiislamu wakati akitoa hotuba yake nchini Saudi Arabia.

In Kimataifa

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa kuna haja ya kukabiliana na itikadi kali katika dini ya kiislamu wakati akitoa hotuba yake nchini Saudi Arabia.

Akiongea kwenye kwenye mji mkuu wa Riyadh, alisema kuwa vita dhidi ya itikadi kali sio vita kati ya imani tofauti bali vita kati ya mambo mazuri na yale maovu.

Trump ambaye yuko kwenye ziara yake ya kwanza katika nchi za kigeni, alizungumza wakati wa mkutano wa viongozi wa kikanda.

Hata hivyo hotuba yake Trump inaonekama kama njia ya kutafuta uungwaji mkono katika vita dhidi ya wanamgambo wa Islamic State.

Hatua yake ya hivi majuzi ya kupiga marufuku safari ya kwenda Marekani kwa raia wa mataifa 7 yenye waislamu wengi duniani, ilisababisha hasira kote katika mataifa ya kiislamu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu