Rais wa muda wa mrefu wa Gambia Yahya Jammeh aliiba kiasi dola milioni 50 za taifa hilo kabla kukimbilia uhamishoni nchini Guinea ya Ikweta Janauri mwaka huu baada ya kuiongoza nchi hiyo kwa miaka 22.

In Kimataifa

Rais wa muda wa mrefu wa Gambia Yahya Jammeh aliiba kiasi dola milioni 50 za taifa hilo kabla kukimbilia uhamishoni nchini Guinea ya Ikweta Janauri mwaka huu baada ya kuiongoza nchi hiyo kwa miaka 22.

Hayo ni kwa mujibu wa waziri wa sheria wa Gambia Abubacarr Tambadou.

Waziri Tambadou amesema Jammeh binafsi aliamuru fedha kutolewa kutoka kwa benki kuu ya Gambia na benki ya Gamtel kati ya 2013 na 2017.

Waziri huyo aidha amesema wamepata kibali cha mahakama kuzifungia au kuzizuia kwa muda mali zinazofahamika kumilikiwa na rais wa zamani Jammeh pamoja na kampuni zinazohusishwa moja kwa moja na kiongozi huyo.

Waziri Tambadou amesema amri ya mahakama iliyotolewa hapo jana inalenga kumzuia Jammeh kuziuza mali zake na amethibitisha amri hiyo inahusu tu mali za kiongozi huyo nchini Gambia pekee.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu