Rais wa Somalia Mohamed Abdullahi Farmajo amesema al-Shabab hawataepuka kwa kutekeleza shambulio la siku ya Alhamisi katika kambi ya jeshi lililosababisha vifo vya zaidi ya watu 38 , Shirika la habari la Reuters limeripoti.

In Kimataifa
Rais wa Somalia Mohamed Abdullahi Farmajo amesema al-Shabab hawataepuka kwa kutekeleza shambulio la siku ya Alhamisi katika kambi ya jeshi lililosababisha vifo vya zaidi ya watu 38 , Shirika la habari la Reuters limeripoti.
Al- Shabab imesema wanajeshi 61 waliuawa katika shambulio la asubuhi lililotokea karibu kilomita 70 kutoka Kaskazini Mashariki mwa Bosaso, lakini maafisa wa nchi hiyo wamesema hiyo sio idadi kamili ya vifo.
Katika taarifa , iliyonukuliwa na vyombo vya habari tofauti , Bwana Farmajo amesema:
Jimbo la Puntland limekuwa likikumbwa na mashambulio ya mara kwa mara kutoka kwa al-Shabab, lakini shambulio hili la sasa limetajwa kuwa baya zaidi katika siku za hivi karibuni.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu