Rais wa Somalia Mohammed Abdullahi Farmajo amesema moja ya ngome kubwa za wapiganaji wa Al-Shabaab zimeharibiwa vibaya baada ya shambulizi lililofanywa na vikosi vya Marekani.

In Kimataifa

Rais wa Somalia Mohammed Abdullahi Farmajo amesema moja ya ngome kubwa za wapiganaji wa Al-Shabaab zimeharibiwa vibaya baada ya shambulizi lililofanywa na vikosi vya Marekani.

Amesema kuwa vikosi maalum vya jeshi la Somalia vinavyopata mafunzo kutoka vile vya Marekani pia vilihusika kuwashambulia Al-Shabaab.

Vikosi vya Marekani vimethibitisha kufanya shambulizi hilo Kusini mwa Somalia.

Haijajulikana kama pametokea uharibifu mwingine wowote.

Siku ya Alhamisi vikosi vya Al-Shabaab viliua watu 59 katika shambulizi kwenye mji wa Puntland Kusini mwa Somalia.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu