Rais wa Sudan kusini asitisha mpango wa kutembelea Makao Makuu ya jeshi jijini Juba.

In Kimataifa

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir, amesitisha mpango wa kutembelea Makao Makuu ya jeshi jijini Juba.
Mapigano yanaendelea kushuhudiwa nchini Sudan Kusini kati ya vikosi vya serikali na waasi wa Riek Machar.
Ripoti zinasema kuwa, rais Kiir alikuwa ameanza safari ya kwenda katika makao hayo makuu Kaskazini mwa jiji kuu la Juba lakini alipofika katikati ya safari yake, aliamua kusitisha ziara yake.
Jeshi la Sudan Kusini limeendelea kushutumiwa na waangalizi wa Umoja wa Mataifa kwa kuendelea kutekeleza mashambulizi dhidi ya waasi na kusababisha maelfu ya raia w anchi hiyo kuyakimbia makwao.
Umoja wa Mataifa unasema mwaka huu pekee, watu elfu 95 wamekimbia makwao kwa sababu ya mapigano yanayoendelea.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu