Rais wa Sudan kusini asitisha mpango wa kutembelea Makao Makuu ya jeshi jijini Juba.

In Kimataifa

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir, amesitisha mpango wa kutembelea Makao Makuu ya jeshi jijini Juba.
Mapigano yanaendelea kushuhudiwa nchini Sudan Kusini kati ya vikosi vya serikali na waasi wa Riek Machar.
Ripoti zinasema kuwa, rais Kiir alikuwa ameanza safari ya kwenda katika makao hayo makuu Kaskazini mwa jiji kuu la Juba lakini alipofika katikati ya safari yake, aliamua kusitisha ziara yake.
Jeshi la Sudan Kusini limeendelea kushutumiwa na waangalizi wa Umoja wa Mataifa kwa kuendelea kutekeleza mashambulizi dhidi ya waasi na kusababisha maelfu ya raia w anchi hiyo kuyakimbia makwao.
Umoja wa Mataifa unasema mwaka huu pekee, watu elfu 95 wamekimbia makwao kwa sababu ya mapigano yanayoendelea.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu