Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir amesema raia wake hawajutii uamuzi wao wa kupiga kura ya kutaka uhuru wao

In Kimataifa

Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir amesema raia wake hawajutii uamuzi wao wa kupiga kura ya kutaka uhuru wao, licha ya kuwepo mapigano ya wenyewe kwa wenyewe katika nchi hiyo changa.

Bwana Kiir alikuwa akizungumza hayo katika maadhimisho ya miaka sita ya Uhuru kutoka Sudan.

Sherehe rasmi ziliahirishwa kutokana na vita na hali mbaya ya uchumi.

Bwana Kiir amesema imefika wakati wa kujifunza kutokana na makosa ya zamani na kuungana kuijenga Sudan Kusini.

Maelfu ya watu wamekufa, na mamilioni wamehama makazi yao, tangu mgogoro huo ulipoanza mwezi Desemba mwaka 2013.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu