Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ametaka kufanyika marekebisho makubwa ndani ya bara la Ulaya kufuatia maongezi kati yake na Kansela wa Ujerumani Bi Angela Merkel mjini Berlin.

In Kimataifa

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ametaka kufanyika marekebisho makubwa ndani ya bara la Ulaya kufuatia maongezi kati yake na Kansela wa Ujerumani Bi Angela Merkel mjini Berlin.

Katika ziara yake ya kwanza kama Rais, Macron amesema wamekubaliana kwa pamoja kufanya kazi ndani ya Umoja wa Ulaya kwa ukaribu zaidi.

Kwa upande wake Kansela wa Ujerumani Bi Angela Merkel amesema kutakua na hatua katika kuweka mambo sawa hususan masuala ya kodi.

Kabla ya kuelekea Ujerumani, Macron amemteua Edouard Philippe kuwa waziri mkuu mpya akitokea chama cha mrengo wa kati cha Republican.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu