Rais wa Uganda Yoweri Mueveni amevitaka vikosi vya usalama kuwacha kuwatesa wahalifu ikiwa wamekuwa wakifanya hivyo.

In Kimataifa

Rais wa Uganda Yoweri Mueveni amevitaka vikosi vya usalama kuwacha kuwatesa wahalifu ikiwa wamekuwa wakifanya hivyo.

Kwa njia ya barua kwa maafisa wa ngazi za juu serikalini akiwemo waziri wa masuala ya ndani, amesema kutumia mateso kunaweza kusababisha mtu asiye na makosa kukiri na hivyo sio njia bora, ya kupata ushahidi ambao unaweza kutumika mahakamani.

Amesema kuwa Uganda imekabiliana na changamoto mbaya za kiusalama ,kuliko tishio kutoka kwa wahalifu wanaotumia pikipiki maarufu kama boda boda.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu