Rais wa Urusi Vladimir Putin jana amekutana na rais mpya wa Ufaransa Emmanuel Macron, katika kile kinachoonekana kuwa ni hatua muhimu ya kuuweka vizuri uhusiano wao.

In Kimataifa

Rais wa Urusi Vladimir Putin jana amekutana na rais mpya wa Ufaransa Emmanuel Macron, katika kile kinachoonekana kuwa ni hatua muhimu ya kuuweka vizuri uhusiano wao.

Viongozi hao wanatarajiwa kujadili uhusiano kati ya nchi hizo, hususan biashara na ushirikiano, katika mapambano dhidi ya ugaidi.

Balozi wa Urusi nchini Ufaransa Alexander Orlov, amesema mkutano wa rais Macron na Putin,ni muhimu kwa mataifa hayo.

Viongozi hao pia wanatarajiwa leo kuhudhuria ufunguzi wa maonesho ya Versailles, ya kuadhimisha miaka 300 ya ziara ya mfalme Peter wa Urusi alipozuru Ufaransa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu