Rais wa Urusi Vladimir Putin jana amekutana na rais mpya wa Ufaransa Emmanuel Macron, katika kile kinachoonekana kuwa ni hatua muhimu ya kuuweka vizuri uhusiano wao.

In Kimataifa

Rais wa Urusi Vladimir Putin jana amekutana na rais mpya wa Ufaransa Emmanuel Macron, katika kile kinachoonekana kuwa ni hatua muhimu ya kuuweka vizuri uhusiano wao.

Viongozi hao wanatarajiwa kujadili uhusiano kati ya nchi hizo, hususan biashara na ushirikiano, katika mapambano dhidi ya ugaidi.

Balozi wa Urusi nchini Ufaransa Alexander Orlov, amesema mkutano wa rais Macron na Putin,ni muhimu kwa mataifa hayo.

Viongozi hao pia wanatarajiwa leo kuhudhuria ufunguzi wa maonesho ya Versailles, ya kuadhimisha miaka 300 ya ziara ya mfalme Peter wa Urusi alipozuru Ufaransa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu