Rais wa Zanzibar asema Serikali inampango wa kuanzisha kiwanda cha kusindika samali visiwani Zanzibar.

In Kitaifa

Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, amesema serikali ina mpango wa kuanzisha kiwanda cha kusindika samaki visiwani Zanzibar.
Aidha amesema katika kipindi kifupi kijacho, Zanzibar inatarajia kuwa na meli ya uvuvi pamoja na kampuni ya samaki, ili kuwanufaisha wavuvi na Wazanzibari kwa ujumla.
Akizungumzia maafa ya mvua zinazoendelea kunyesha nchini, amesema serikali imekuwa ikifanya juhudi za kuimarisha miundombinu, ili kuhimili maafa hayo kwa kuzuia maji yasituame.
Amesema ni matumaini yake baada ya miaka mitatu ijayo, maafa ya mvua yataondoka na kubaki kuwa historia zanzibar.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu