Rais wa Zanzibar asema Serikali inampango wa kuanzisha kiwanda cha kusindika samali visiwani Zanzibar.

In Kitaifa

Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, amesema serikali ina mpango wa kuanzisha kiwanda cha kusindika samaki visiwani Zanzibar.
Aidha amesema katika kipindi kifupi kijacho, Zanzibar inatarajia kuwa na meli ya uvuvi pamoja na kampuni ya samaki, ili kuwanufaisha wavuvi na Wazanzibari kwa ujumla.
Akizungumzia maafa ya mvua zinazoendelea kunyesha nchini, amesema serikali imekuwa ikifanya juhudi za kuimarisha miundombinu, ili kuhimili maafa hayo kwa kuzuia maji yasituame.
Amesema ni matumaini yake baada ya miaka mitatu ijayo, maafa ya mvua yataondoka na kubaki kuwa historia zanzibar.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu