Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein achukizwa na hili

In Kitaifa

Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, ameikemea Wizara ya Afya kwa kutotekeleza agizo lake la kujengwa na kukamilisha kwa wakati, ujenzi wa Kituo cha Afya Pemba.

Dk Shein alionyesha kutofurahishwa na wizara hiyo kutofanyia kazi agizo lake, katika ziara yake ya kutembelea miradi kisiwani Pemba.

Dk Shein hakuridhishwa na ujenzi wa Kituo cha Afya cha Ngomeni, kutokana na kutokamilika licha ya agizo lake la Novemba mwaka jana.

Kutokana na hali hiyo ameagiza tena Wizara ya Afya kuhakikisha wanafanya kazi kwa uhakika, na kukamilisha ujenzi huo ndani ya miezi mitatu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu