Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein achukizwa na hili

In Kitaifa

Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, ameikemea Wizara ya Afya kwa kutotekeleza agizo lake la kujengwa na kukamilisha kwa wakati, ujenzi wa Kituo cha Afya Pemba.

Dk Shein alionyesha kutofurahishwa na wizara hiyo kutofanyia kazi agizo lake, katika ziara yake ya kutembelea miradi kisiwani Pemba.

Dk Shein hakuridhishwa na ujenzi wa Kituo cha Afya cha Ngomeni, kutokana na kutokamilika licha ya agizo lake la Novemba mwaka jana.

Kutokana na hali hiyo ameagiza tena Wizara ya Afya kuhakikisha wanafanya kazi kwa uhakika, na kukamilisha ujenzi huo ndani ya miezi mitatu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu