Rappa Eminem ndani ya bifu zito na Channel ya TV ya REVOLT

In Burudani, Kimataifa

Rappa Eminem au kwa jina lake halisia Marshall Mathers (47), aingia
katika bifu na Channel ya TV ya REVOLT, hii ni baada ya nakala
original ya wimbo wake wa bang alioimba na Conway kuvujishwa,
ambapo katika nakala hii ambayo imesemekana kuwa nakala ya
kwanza ambayo ilirekodiwa, baadhi ya mistari iliikashifu Televisheni
hii inayomilikiwa na P Diddy, ambapo alisema , ‘Yeah shout out to
Puffy Combs, but Fk Revolt’. Sasa ugomvi huu umeunganishwa na ugomvi kati ya Eminem na Joe Budden, ambae pia ni mtangazaji wa stesheni hio ya TV inayomilikiwa na P Diddy. Sasa baada ya nakala hii ambayo ikotofauti na nakala ilioachiliwa mwaka jana mwezi wa saba kuvujishwa, REVOLT walijibu kwa kupost picha katika kurasa wao wa twitter Fk Eminem.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu