RASMI DR CONGO YAJIUNGA NA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

In Kimataifa

amhuri ya Kidemokrasia ya Congo Jumatatu ya leo Julai 12.
,2022 imejiunga rasmi kuwa mwanachama wa saba wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) baada ya kupeleka hati za kuridhia makao makuu jijini Arusha, Tanzania.

Waziri wa Mambo ya Nje Christophe Lutundula aliwasilisha nyaraka hizo kwa Katibu Mkuu wa EAC, Peter Mathuki, ambaye alieleza kuwa maendeleo hayo ni muhimu kwa DR Congo na jumuiya.

Nchi wanachama ziliidhinisha ombi la DR Congo kujiunga na umoja huo mwezi Aprili na bunge la nchi hiyo liliidhinisha uamuzi huo mwezi Juni.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu