RC Chalamila atinga kituo cha Mwedokasi Kimara.

In Kitaifa

Ikiwa imepita siku moja tangu kuelezwa kwa adha ya usafiri wa
mabasi yaendayo kasi kituo cha Kimara jijini Dar es Salaam,leo
Alhamisi Oktoba 12 Mkuu wa Mkoa wa huo Albert Chalamila
ametembelea kituo hiko na kusikiliza kero za wananchi.


Hali ya idadi ya watu katika kituo hicho leo ni tofauti na jana,
ambapo msongamano ulikuwa mkubwa huku wakala wa Mabasi
hayo (Dart) wakikiri kuwapo kwa kadhia hiyo na wakieleza
namna ya kutatua ikiwa moja ya njia hizo ni kuongeza mabasi
hayo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu