RC mstaafu Mwanajeshi autaka Ubunge.


Aliyekua Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brig. Jen.(Mst) Emanuel
Maganga baada ya kuustafu Ukuu wa Mkoa wa Kigoma kaamua
kutangaza nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Mvomero
Morogoro.


Kabla ya kufanya chochote aliamua kwenda kwa Mama yake
Kijijin Kunkwe kuchukua baraka za kuwania Ubunge na pongezi
ya kusatafu na kazi aliyokua anafanya Kigoma.

Exit mobile version