Riek Machar atoa wito wa kuanza upya mazungumzo ya amani nje ya taifa linalokumbwa na vita la Sudan Kusini.

In Kimataifa
Kiongozi wa upinzani aliyeko uhamishoni Riek Machar ametoa wito wa kuanza upya mazungumzo ya amani nje ya taifa linalokumbwa na vita la Sudan Kusini.
Machar ametoa taarifa hiyo hapo jana kupitia mpatanishi wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa, ambapo pia alikataa kukemea machafuko yanayoendelea nchini humo au kutangaza usitishwaji wa mapigano kutoka upande wake.
Hii imetokea wakati Marekani ikiwaonya viongozi nchini Sudan Kusini kuwa wako katika hatari ya kupoteza msaada wa Marekani kama watakataa kushiriki katika mazungumzo ya amani na kuheshimu muda uliowekwa wa kusitishwa mapigano.
 Maelfu ya watu wameuawa na zaidi ya milioni 3.5 wamekimbia makazi yao baada ya Rais Salva Kiir kumtuhumu aliyekuwa naibu wake Machar kwa kupanga njama ya mapinduzi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu