Rika la vijana Jamii ya maasai wilayani monduli mkoani Arusha wametakiwa kulipa kipaumbele suala la kumpatia elimu mototo wa kike pamoja na usimamizi wa rasilimali Ardhi ilikuleta Maendeleo kwa maslahi ya Taifa.

In Kitaifa

Rika la vijana Jamii ya maasai wilayani monduli mkoani Arusha wametakiwa kulipa kipaumbele suala la kumpatia elimu mototo wa kike  pamoja na usimamizi wa rasilimali Ardhi ilikuleta Maendeleo kwa maslahi ya Taifa.

Akizungumza katika sherehe za kuwaaga  wazee wa mila wa rika la korianga  na kuwaachia uongozi rika la vijana (nyangulo) katika wilaya ya monduli mkoani  Arusha ,Mbunge wa jimbo la Monduli Julius Kalanga aliwataka vijana hao kusimamia nafasi hiyo kwa kulipa kipaumbele suala la elimu kwa watoto wa kike kwani familia nyingi zimeonekana kuwa na mwamko mdogo.
Pia katika hatua nyingine aliwataka rikahilo  kulindana kusimamia rasilimali ardhi  kwani pasipowekwa msimamo thabiti  kutasababisha baadhi yao kutonufaikanayo.
Sinyo krokongo ni leigwan analiemaliza muda wake tangu kushika wadhfa mwaka 1998 ambapo alisema wamekuwa na desturi ya kuwasaidia Jamii zinazoshindwa kuwapeleka watoto Wao shule kwa kuwachangia fedha,huku  wakipinga vikali suala La ndoa za utotoni.

Rika la vijana Jamii ya maasai wilayani monduli mkoani Arusha wametakiwa kulipa kipaumbele suala la kumpatia elimu motto wa kike  pamoja na usimamizi wa rasilimali Ardhi ilikuleta Maendeleo kwa maslahi ya Taifa.
Akizungumza katika sherehe za kuwaaga  wazee wa mila wa rika la korianga  na kuwaachia uongozi rika la vijana (nyangulo) katika wilaya ya monduli mkoani  Arusha ,Mbungewajimbo la Monduli Julius Kalanga aliwataka vijana hao kusimamia nafasi hiyo kwa kulipa kipaumbele suala la elimu kwa watoto wa kike kwani familia nyingi zimeonekana kuwa na mwamko mdogo.
Pia katika hatua nyingine aliwataka rikahilo  kulindana kusimamia rasilimali ardhi  kwani pasipowekwa msimamo thabiti  kutasababisha baadhi yao kutonufaikanayo.
Sinyo krokongo ni leigwan analiemaliza muda wake tangu kushika wadhfa mwaka 1998 ambapo alisema wamekuwa na desturi ya kuwasaidia Jamii zinazoshindwa kuwapeleka watoto Wao shule kwa kuwachangia fedha,huku  wakipinga vikali suala La ndoa za utotoni.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu