Rika la vijana Jamii ya maasai wilayani monduli mkoani Arusha wametakiwa kulipa kipaumbele suala la kumpatia elimu mototo wa kike pamoja na usimamizi wa rasilimali Ardhi ilikuleta Maendeleo kwa maslahi ya Taifa.

In Kitaifa

Rika la vijana Jamii ya maasai wilayani monduli mkoani Arusha wametakiwa kulipa kipaumbele suala la kumpatia elimu mototo wa kike  pamoja na usimamizi wa rasilimali Ardhi ilikuleta Maendeleo kwa maslahi ya Taifa.

Akizungumza katika sherehe za kuwaaga  wazee wa mila wa rika la korianga  na kuwaachia uongozi rika la vijana (nyangulo) katika wilaya ya monduli mkoani  Arusha ,Mbunge wa jimbo la Monduli Julius Kalanga aliwataka vijana hao kusimamia nafasi hiyo kwa kulipa kipaumbele suala la elimu kwa watoto wa kike kwani familia nyingi zimeonekana kuwa na mwamko mdogo.
Pia katika hatua nyingine aliwataka rikahilo  kulindana kusimamia rasilimali ardhi  kwani pasipowekwa msimamo thabiti  kutasababisha baadhi yao kutonufaikanayo.
Sinyo krokongo ni leigwan analiemaliza muda wake tangu kushika wadhfa mwaka 1998 ambapo alisema wamekuwa na desturi ya kuwasaidia Jamii zinazoshindwa kuwapeleka watoto Wao shule kwa kuwachangia fedha,huku  wakipinga vikali suala La ndoa za utotoni.

Rika la vijana Jamii ya maasai wilayani monduli mkoani Arusha wametakiwa kulipa kipaumbele suala la kumpatia elimu motto wa kike  pamoja na usimamizi wa rasilimali Ardhi ilikuleta Maendeleo kwa maslahi ya Taifa.
Akizungumza katika sherehe za kuwaaga  wazee wa mila wa rika la korianga  na kuwaachia uongozi rika la vijana (nyangulo) katika wilaya ya monduli mkoani  Arusha ,Mbungewajimbo la Monduli Julius Kalanga aliwataka vijana hao kusimamia nafasi hiyo kwa kulipa kipaumbele suala la elimu kwa watoto wa kike kwani familia nyingi zimeonekana kuwa na mwamko mdogo.
Pia katika hatua nyingine aliwataka rikahilo  kulindana kusimamia rasilimali ardhi  kwani pasipowekwa msimamo thabiti  kutasababisha baadhi yao kutonufaikanayo.
Sinyo krokongo ni leigwan analiemaliza muda wake tangu kushika wadhfa mwaka 1998 ambapo alisema wamekuwa na desturi ya kuwasaidia Jamii zinazoshindwa kuwapeleka watoto Wao shule kwa kuwachangia fedha,huku  wakipinga vikali suala La ndoa za utotoni.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu