Rufani ya Lema na Mkewe Neema yashindikana kusikilizwa.

In Kitaifa

Rufani ya Mbunge wa Arusha Mjini Chadema Godbless Lema, na mkewe Neema katika kesi ya kumtukana Mkuu wa Mkoa Arusha Mrisho Gambo, imeshindikana kusikilizwa jana na kuahirishwa hadi Septemba 19.

Naibu Msajili wa Mahakama Kuu Kanda hiyo Angelo Rumisha amesema kuwa, sababu za kuahirisha kwa rufaa hiyo ni kutokana na Jaji Salma aliyepangwa kuisikiliza kuwa likizo.

Lema na Neema wanakipinga kesi ya kudaiwa kumtukana Gambo isisikilizwe na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, kwa kuwa wameshtakiwa kwa sheria ya makampuni wakati wao siyo kampuni.

Wakati kesi hiyo ikiahirishwa Lema ambaye anahudhuria vikao vya Bunge mjini Dodoma,hakuwepo mahakamani hapo

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu