Rufani ya Lema na Mkewe Neema yashindikana kusikilizwa.

In Kitaifa

Rufani ya Mbunge wa Arusha Mjini Chadema Godbless Lema, na mkewe Neema katika kesi ya kumtukana Mkuu wa Mkoa Arusha Mrisho Gambo, imeshindikana kusikilizwa jana na kuahirishwa hadi Septemba 19.

Naibu Msajili wa Mahakama Kuu Kanda hiyo Angelo Rumisha amesema kuwa, sababu za kuahirisha kwa rufaa hiyo ni kutokana na Jaji Salma aliyepangwa kuisikiliza kuwa likizo.

Lema na Neema wanakipinga kesi ya kudaiwa kumtukana Gambo isisikilizwe na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, kwa kuwa wameshtakiwa kwa sheria ya makampuni wakati wao siyo kampuni.

Wakati kesi hiyo ikiahirishwa Lema ambaye anahudhuria vikao vya Bunge mjini Dodoma,hakuwepo mahakamani hapo

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu