Rufani ya Lema na Mkewe Neema yashindikana kusikilizwa.

In Kitaifa

Rufani ya Mbunge wa Arusha Mjini Chadema Godbless Lema, na mkewe Neema katika kesi ya kumtukana Mkuu wa Mkoa Arusha Mrisho Gambo, imeshindikana kusikilizwa jana na kuahirishwa hadi Septemba 19.

Naibu Msajili wa Mahakama Kuu Kanda hiyo Angelo Rumisha amesema kuwa, sababu za kuahirisha kwa rufaa hiyo ni kutokana na Jaji Salma aliyepangwa kuisikiliza kuwa likizo.

Lema na Neema wanakipinga kesi ya kudaiwa kumtukana Gambo isisikilizwe na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, kwa kuwa wameshtakiwa kwa sheria ya makampuni wakati wao siyo kampuni.

Wakati kesi hiyo ikiahirishwa Lema ambaye anahudhuria vikao vya Bunge mjini Dodoma,hakuwepo mahakamani hapo

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu